 Kay Kay L Kay Kay L feeling annoyed at St. Mathias Mulumba Catholic Church, Mikindani Mombasa..      Famously known as DENO, mentaly unfit but has the capabilities of a normal being as termed by residents, has of late become naughty of causing fire havoc in the area. Down is the post from Mikindani Peeps and the comments. feeling annoyed at St. Mathias Mulumba Catholic Church, Mikindani Mombasa..      Famously known as DENO, mentaly unfit but has the capabilities of a normal being as termed by residents, has of late become naughty of causing fire havoc in the area. Down is the post from Mikindani Peeps and the comments.
 ago in Mikindani Jomvu constituency  Mombasa
 ''Kuna
 huyu Jamaa Chizi fulani huwa ako na tabia za kuwasha washa moto 
mtaani...last Year he started a fire outside someone's Shop just outside
 the Catholic Church..it was during the Night...Fridge ya Soda ikawaka 
moto...
''Kuna
 huyu Jamaa Chizi fulani huwa ako na tabia za kuwasha washa moto 
mtaani...last Year he started a fire outside someone's Shop just outside
 the Catholic Church..it was during the Night...Fridge ya Soda ikawaka 
moto...Leo amewasha moto pale pale Opposite Catholic tena...stima ikashikana na wire za Stima...Stima ikawasha nyumba ya mwenyewe...sasa Jamaa hana nyumba ya kulala leo coz jamaa imewaka moto...'' 39 King'ori Brian, Kit Y Mc Tröpíćäł and 37 others
Comments
Nyamai Singi Pole jamani
Ruth Gakii huyo ni Deno last wk Karibu aingie kwa nyumba yetu. anajifanya hana uchizi wowote.
Terry Mcguire Makinda Deno ni yupi mamake...

Write a reply...
Simon Seiz Sanchez Guys hapo ni home
Erastus Mgona Anafaa kuchapwa je kama ingekuwa duka ya gas.tu shawai mchapa hapa base ya mnazi mmoja kwa kusumbua mama wa samaki.
Jackson Reloaded Nzioka huyu
 jamaa sio chizi. Juzi usiku aliwasha plastic hapa maskani nilipo toka 
nje na nyaunyo alitoka mbio na angetu choma dani ya nyumba coz ilikuwa 
kama saa nane usiku.
Suleiman Asmani Noma sana
Matata De Bundez same
 sato saa saba usiku nikuwa nawatch movie nikamsikia akimwaga takataka 
kwa refrigerator ya coke kidogo awashe moto.Nilimpa kichapo
Bonface Opiyo Oruya Nimjadhe anaitwa Deno Anafaa kiboko sasa
Salma Monita Harun Deno si chizi huku amani primary anazima stima then anaiba fused za watu
Salma Monita Harun Juzi alivua nguo zote akawa anafanya ujinga sana mbele za watoto
Suleiman Asmani So kma si chizi mbna avue nguo mbele ya watoi,????? So ww waeza vua nguo kweli mbele ya watu kma ww si chizi

Write a reply...
James Mukuva Chunguzeni uyo jamaa ni mwizi kimpango, iyo kujifanya chizi ni swag tu
Chris Rhymes deno is the only man than can speak italy,spanish n french in mikindani,deno is a good man n bad according to ur opinion
James Mukuva Twajua ni msomi sana bt matendo yake ndio tunaangalia Buda. Juzi niliona akichukua padlocks za mwenyewe kwa shop apo Amani
Suleiman Asmani Jamaa uyu #deno
 ni chizi sa apo mta complain mpka kesho kutwa bt uyo msee hayuko poa ki
 brain ata maneno huongea utajua 2 amefyetuka kama ww ni mtu na akili 
zako utajua hilo
James Mukuva Enyewe
 ni kweli sometimes kichwa yake uruka. So solution ni nini juu anasumbua
 mtaani. Niliskia watoi wakisema walimwona akivua nguo na kuwaonesha 
sehemu nyeti adharani
Suleiman Asmani Uyu jamaa familia yake ndo wanafaa sasa wakuwe responsible na chizi wao....... either potriz ama arudishwe bara
Jumba George Huyu deno alipelekwa hossy na wahusika atarudi sawa ni vile famillia yao wanamlenga na si poa hivyo.
James Mukuva Jamaa kumbukeni #Deno
 aliniambia akija uku alikua ametoroka mathare. Budake ni pastor na 
amejaribu vile anaweza but....ametoroka mathare Mara mbili alitwambia.
Isaac Izzoh Nyandeje Let's look for a permanent solution to this Deno issue....
Jumba George Kuna zile tembe za kupunguza uchizi chemistry awe akipewa daily dose..........
James Mukuva Nani
 atampea izo tabs?..yeye mwenyewe ni mjanja noma. Myb anaepatana nae 
amwitishe no.ya budake tumuulize venye tutasaidiana. Kumbuka alikua na 
family nai na kichwa ikaruka akawatoroka..alinishow
Jumba George James inaonekana wee wajua hio famillia vizuri......itabidi ufanye utafiti wa kutosha then utupe feedback.
Jumba George Nyandeje@yuko hapa kama office of Mp tutamtuma kwa boss wake asaidie tuone wayforward
James Mukuva For
 sure nilijaribu kusaidia uyu jamaa bt nilishindwa. Kwanza ni msomi 
kunishinda, pili, akili yake inakua poa for smtym then unashtukia 
anafanya vitu havieleweki. Matendo yake pia unashindwa ni curse ama in 
nini. Kumbuka alishikwa na mwera na wakashindwa nae kortini...ni genius 
kimpango
Jumba George Huongei naye bali waenda kuongea na babake ndio aitwe kwao
Diana Gregory Yenyewe tusipotafuta solution mapema, atafanya kitendo kikubwa zaidi... @ James, kindly try to contact the father if you can.
James Mukuva Akijua budake anamkujia ataepa zaidi. Ata budake akimchukua ataenda kuepa badae
Diana Gregory So what do you think should be done abt this issue my friend?

Write a reply...
Rey C Chamy Kama
 kweli ana wazimu mbona hawashi moto mchana ana washa usiku watu wakiwa 
wamelala na james wasema alimshinda mwera kortini vipi yy ni chizi na 
anajuwa kujitetea mahakamani huyu jamaa mumwangalie vizuri anajuwa 
anachokifanya asilete ujinga
Dandy Call that's near my home..uyo chizi ni ule mzee Wa hapo ghanahola alikua mzee Wa church hapo catholic??
Cyril Ringoma Deno.... Boi wa nai masiz wake wako Majuu madhake ana Hao buruu thea rich kwao but maboiz WA io boma wote ni mafetuka....
Rebecca Wambui Hehehe.....Deno  kingoso kaa yote sometimes  ukuwacha kaa unafloat ushikanishi hicho kilami
























 
No comments:
Post a Comment